بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
18161514ولو فتحنا عليهم بابا من السماء فظلوا فيه يعرجون
Na lau tungeli wafungulia mlango wa mbingu, wakawa wanapanda,
18171515لقالوا إنما سكرت أبصارنا بل نحن قوم مسحورون
Basi wangeli sema: Macho yetu yamelevywa, bali sisi wenyewe tumerogwa.
18181516ولقد جعلنا في السماء بروجا وزيناها للناظرين
Na hakika tumeweka katika mbingu vituo vya sayari, na tumezipamba kwa wenye kuangalia.
18191517وحفظناها من كل شيطان رجيم
Na tumezilinda na kila shetani afukuzwaye.
18201518إلا من استرق السمع فأتبعه شهاب مبين
Isipo kuwa mwenye kusikiliza kwa kuibia, naye hufuatwa na kijinga cha moto kinacho onekana.
18211519والأرض مددناها وألقينا فيها رواسي وأنبتنا فيها من كل شيء موزون
Na ardhi tumeitandaza na humo tumeweka milima, na tumeotesha kila kitu kwa kiasi chake.
18221520وجعلنا لكم فيها معايش ومن لستم له برازقين
Na tumekujaalieni humo vitu vya maisha yenu, na ya hao ambao nyinyi sio wenye kuwaruzuku.
18231521وإن من شيء إلا عندنا خزائنه وما ننزله إلا بقدر معلوم
Na hakuna chochote ila asili yake inatokana na Sisi; wala hatukiteremshi ila kwa kipimo maalumu.
18241522وأرسلنا الرياح لواقح فأنزلنا من السماء ماء فأسقيناكموه وما أنتم له بخازنين
Na tunazipeleka pepo za kupandishia, na tunateremsha kutoka mbinguni maji, kisha tukakunywesheni maji hayo. Wala si nyinyi mnayo yaweka.
18251523وإنا لنحن نحيي ونميت ونحن الوارثون
Na Sisi ndio tunao huisha na tunao fisha. Na Sisi ndio Warithi.


0 ... 171.5 172.5 173.5 174.5 175.5 176.5 177.5 178.5 179.5 180.5 182.5 183.5 184.5 185.5 186.5 187.5 188.5 189.5 190.5 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.02 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

5959184629584813485731311575340252244830