بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
60048911الذين طغوا في البلاد
Ambao walifanya jeuri katika nchi?
60058912فأكثروا فيها الفساد
Wakakithirisha humo ufisadi?
60068913فصب عليهم ربك سوط عذاب
Basi Mola wako Mlezi aliwapiga mjeledi wa adhabu.
60078914إن ربك لبالمرصاد
Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.
60088915فأما الإنسان إذا ما ابتلاه ربه فأكرمه ونعمه فيقول ربي أكرمن
Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na akamneemesha, husema: Mola wangu Mlezi amenikirimu!
60098916وأما إذا ما ابتلاه فقدر عليه رزقه فيقول ربي أهانن
Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu Mlezi amenitia unyonge!
60108917كلا بل لا تكرمون اليتيم
Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima,
60118918ولا تحاضون على طعام المسكين
Wala hamhimizani kulisha masikini;
60128919وتأكلون التراث أكلا لما
Na mnakula urithi kwa ulaji wa pupa,
60138920وتحبون المال حبا جما
Na mnapenda mali pendo la kupita kiasi.


0 ... 590.3 591.3 592.3 593.3 594.3 595.3 596.3 597.3 598.3 599.3 601.3 602.3 603.3 604.3 605.3 606.3 607.3 608.3 609.3 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.04 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

27334273511233681866794500530873135491