بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
53206849لولا أن تداركه نعمة من ربه لنبذ بالعراء وهو مذموم
Kama isingeli mfikia neema kutoka kwa Mola wake Mlezi, bila ya shaka angeli tupwa ufukweni naye ni mwenye kulaumiwa.
53216850فاجتباه ربه فجعله من الصالحين
Lakini Mola wake Mlezi alimteua na akamfanya miongoni mwa watu wema.
53226851وإن يكاد الذين كفروا ليزلقونك بأبصارهم لما سمعوا الذكر ويقولون إنه لمجنون
Na walio kufuru hukaribia kukutelezesha kwa macho yao, wanapo sikia mawaidha, na wanasema: Hakika yeye ni mwendawazimu.
53236852وما هو إلا ذكر للعالمين
Na hayakuwa haya, ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.
5324691بسم الله الرحمن الرحيم الحاقة
Tukio la haki.
5325692ما الحاقة
Nini hilo Tukio la haki?
5326693وما أدراك ما الحاقة
Na nini kitakujuulisha nini hilo Tukio la haki?
5327694كذبت ثمود وعاد بالقارعة
Thamudi na A'di waliukadhibisha Msiba unao situsha.
5328695فأما ثمود فأهلكوا بالطاغية
Basi Thamudi waliangamizwa kwa balaa kubwa mno.
5329696وأما عاد فأهلكوا بريح صرصر عاتية
Na ama A'di waliangamizwa kwa upepo mkali usio zuilika.


0 ... 521.9 522.9 523.9 524.9 525.9 526.9 527.9 528.9 529.9 530.9 532.9 533.9 534.9 535.9 536.9 537.9 538.9 539.9 540.9 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.03 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

1662150654051304404444312799146623931543