بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
52836812مناع للخير معتد أثيم
Mwenye kuzuia kheri, dhaalimu, mwingi wa madhambi,
52846813عتل بعد ذلك زنيم
Mkavu, na juu ya hayo, mshari, amejipachika tu.
52856814أن كان ذا مال وبنين
Ati kwa kuwa ana mali na watoto!
52866815إذا تتلى عليه آياتنا قال أساطير الأولين
Anapo somewa Aya zetu, husema: Hizi ni simulizi za uwongo za watu wa zamani!
52876816سنسمه على الخرطوم
Tutamtia kovu juu ya pua yake.
52886817إنا بلوناهم كما بلونا أصحاب الجنة إذ أقسموا ليصرمنها مصبحين
Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa asubuhi.
52896818ولا يستثنون
Wala hawakusema: Mungu akipenda!
52906819فطاف عليها طائف من ربك وهم نائمون
Basi lilitokea tukio juu yake kutoka kwa Mola wako Mlezi, nao wamelala!
52916820فأصبحت كالصريم
Likawa kama usiku wa giza.
52926821فتنادوا مصبحين
Asubuhi wakaitana.


0 ... 518.2 519.2 520.2 521.2 522.2 523.2 524.2 525.2 526.2 527.2 529.2 530.2 531.2 532.2 533.2 534.2 535.2 536.2 537.2 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.02 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

6097199110413435880733137462016623378