بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
4851545حكمة بالغة فما تغن النذر
Hikima kaamili; lakini maonyo hayafai kitu!
4852546فتول عنهم يوم يدع الداع إلى شيء نكر
Basi jiepushe nao. Siku atakapo ita mwitaji kuliendea jambo linalo chusha;
4853547خشعا أبصارهم يخرجون من الأجداث كأنهم جراد منتشر
Macho yao yatainama; watatoka makaburini kama nzige walio tawanyika,
4854548مهطعين إلى الداع يقول الكافرون هذا يوم عسر
Wanamkimbilia mwitaji, na makafiri wanasema: Hii ni siku ngumu.
4855549كذبت قبلهم قوم نوح فكذبوا عبدنا وقالوا مجنون وازدجر
Kabla yao kaumu ya Nuhu walikanusha; wakamkanusha mja wetu, na wakasema ni mwendawazimu, na akakaripiwa.
48565410فدعا ربه أني مغلوب فانتصر
Basi akamwomba Mola wake Mlezi akasema: Kwa hakika mimi nimeshindwa, basi ninusuru!
48575411ففتحنا أبواب السماء بماء منهمر
Basi tukaifungua milango ya mbingu kwa maji yanayo miminika.
48585412وفجرنا الأرض عيونا فالتقى الماء على أمر قد قدر
Na tukazipasua ardhi kwa chemchem, yakakutana maji kwa jambo lilio kadiriwa.
48595413وحملناه على ذات ألواح ودسر
Na tukamchukua kwenye safina ya mbao na kamba.
48605414تجري بأعيننا جزاء لمن كان كفر
Ikawa inakwenda kwa nadhari yetu, kuwa ni malipo kwa alivyo kuwa amekanushwa.


0 ... 475 476 477 478 479 480 481 482 483 484 486 487 488 489 490 491 492 493 494 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.03 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

5964523048662628621360124337509010546222