بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
47555220متكئين على سرر مصفوفة وزوجناهم بحور عين
Watakuwa wameegemea juu ya viti vya enzi vilivyo pangwa kwa safu. Na tutawaoza mahuru-l-aini.
47565221والذين آمنوا واتبعتهم ذريتهم بإيمان ألحقنا بهم ذريتهم وما ألتناهم من عملهم من شيء كل امرئ بما كسب رهين
Na walio amini na dhuriya zao wakawafuata kwa Imani tutawakutanisha nao dhuriya zao, na wala hatutawapunja hata kidogo katika vitendo vyao. Kila mtu lazima atapata alicho kichuma.
47575222وأمددناهم بفاكهة ولحم مما يشتهون
Na tutawapa matunda, na nyama kama watavyo penda.
47585223يتنازعون فيها كأسا لا لغو فيها ولا تأثيم
Watapeana humo bilauri zisio na vinywaji vya kuleta maneno ya upuuzi wala dhambi.
47595224ويطوف عليهم غلمان لهم كأنهم لؤلؤ مكنون
Iwe wanawapitia watumishi wao kama kwamba ni lulu zilizomo katika chaza.
47605225وأقبل بعضهم على بعض يتساءلون
Wataelekeana wakiulizana.
47615226قالوا إنا كنا قبل في أهلنا مشفقين
Waseme: Tulikuwa zamani pamoja na ahali zetu tukiogopa;
47625227فمن الله علينا ووقانا عذاب السموم
Basi Mwenyezi Mungu akatufanyia hisani na akatulinda na adhabu ya upepo wa Moto.
47635228إنا كنا من قبل ندعوه إنه هو البر الرحيم
Hakika sisi zamani tulikuwa tukimwomba Yeye tu. Hakika Yeye ndiye Mwema Mwenye kurehemu.
47645229فذكر فما أنت بنعمت ربك بكاهن ولا مجنون
Basi kumbusha! Kwani wewe, kwa neema ya Mola wako Mlezi, si kuhani wala mwendawazimu.


0 ... 465.4 466.4 467.4 468.4 469.4 470.4 471.4 472.4 473.4 474.4 476.4 477.4 478.4 479.4 480.4 481.4 482.4 483.4 484.4 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.03 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

79386961491046253553164394317449324508