بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
47165141وفي عاد إذ أرسلنا عليهم الريح العقيم
Na katika khabari za A'di tulipo wapelekea upepo wa kukata uzazi.
47175142ما تذر من شيء أتت عليه إلا جعلته كالرميم
Haukuacha chochote ulicho kifikia ila ulikifanya kama kilio nyambuka.
47185143وفي ثمود إذ قيل لهم تمتعوا حتى حين
Na katika khabari za Thamudi walipo ambiwa: Jifurahisheni kwa muda mdogo tu.
47195144فعتوا عن أمر ربهم فأخذتهم الصاعقة وهم ينظرون
Wakaasi amri ya Mola wao Mlezi. Basi uliwanyakua moto wa radi nao wanaona.
47205145فما استطاعوا من قيام وما كانوا منتصرين
Basi hawakuweza kusimama wala hawakuwa wenye kujitetea.
47215146وقوم نوح من قبل إنهم كانوا قوما فاسقين
Na kaumu ya Nuhu hapo mbele. Hakika hao walikuwa watu wapotovu.
47225147والسماء بنيناها بأيد وإنا لموسعون
Na mbingu tumezifanya kwa nguvu na uwezo na hakika Sisi bila ya shaka ndio twenye uwezo wa kuzitanua.
47235148والأرض فرشناها فنعم الماهدون
Na ardhi tumeitandaza; basi watandazaji wazuri namna gani Sisi!
47245149ومن كل شيء خلقنا زوجين لعلكم تذكرون
Na katika kila kitu tumeumba kwa jozi ili mzingatie.
47255150ففروا إلى الله إني لكم منه نذير مبين
Basi kimbilieni kwa Mwenyezi Mungu, hakika mimi ni mwonyaji kwenu wa kubainisha nitokae kwake.


0 ... 461.5 462.5 463.5 464.5 465.5 466.5 467.5 468.5 469.5 470.5 472.5 473.5 474.5 475.5 476.5 477.5 478.5 479.5 480.5 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.03 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

2398528459484049253547485090380513431361