بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
47085133لنرسل عليهم حجارة من طين
Tuwatupie mawe ya udongo,
47095134مسومة عند ربك للمسرفين
Yaliyo tiwa alama kutoka kwa Mola wako Mlezi kwa ajili ya wanao pindukia mipaka.
47105135فأخرجنا من كان فيها من المؤمنين
Kwa hivyo tutawatoa katika hao wale walio amini.
47115136فما وجدنا فيها غير بيت من المسلمين
Lakini hatukupata humo ila nyumba moja tu yenye Waislamu!
47125137وتركنا فيها آية للذين يخافون العذاب الأليم
Na tukaacha humo Ishara kwa ajili ya wanao iogopa adhabu chungu.
47135138وفي موسى إذ أرسلناه إلى فرعون بسلطان مبين
Na katika khabari za Musa, tulipo mtuma kwa Firauni na hoja wazi.
47145139فتولى بركنه وقال ساحر أو مجنون
Lakini alipuuza kwa sababu ya nguvu zake na akasema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu!
47155140فأخذناه وجنوده فنبذناهم في اليم وهو مليم
Basi tukamkamata yeye na majeshi yake na tukawatupa baharini, na yeye ndiye wa kulaumiwa.
47165141وفي عاد إذ أرسلنا عليهم الريح العقيم
Na katika khabari za A'di tulipo wapelekea upepo wa kukata uzazi.
47175142ما تذر من شيء أتت عليه إلا جعلته كالرميم
Haukuacha chochote ulicho kifikia ila ulikifanya kama kilio nyambuka.


0 ... 460.7 461.7 462.7 463.7 464.7 465.7 466.7 467.7 468.7 469.7 471.7 472.7 473.7 474.7 475.7 476.7 477.7 478.7 479.7 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.03 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

1228270052724719579019684480448116583561