بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
4684519يؤفك عنه من أفك
Anageuzwa kutokana na haki mwenye kugeuzwa.
46855110قتل الخراصون
Wazushi wameangamizwa.
46865111الذين هم في غمرة ساهون
Ambao wameghafilika katika ujinga.
46875112يسألون أيان يوم الدين
Wanauliza: Ni lini hiyo siku ya malipo?
46885113يوم هم على النار يفتنون
Hiyo ni siku watakayo adhibiwa Motoni.
46895114ذوقوا فتنتكم هذا الذي كنتم به تستعجلون
Onjeni adhabu yenu! Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyahimiza.
46905115إن المتقين في جنات وعيون
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
46915116آخذين ما آتاهم ربهم إنهم كانوا قبل ذلك محسنين
Wanapokea aliyo wapa Mola wao Mlezi. Kwa hakika hao walikuwa kabla ya haya wakifanya mema.
46925117كانوا قليلا من الليل ما يهجعون
Walikuwa wakilala kidogo tu usiku.
46935118وبالأسحار هم يستغفرون
Na kabla ya alfajiri wakiomba maghfira.


0 ... 458.3 459.3 460.3 461.3 462.3 463.3 464.3 465.3 466.3 467.3 469.3 470.3 471.3 472.3 473.3 474.3 475.3 476.3 477.3 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.03 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

501919624212230509346564919603140394957