بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
46545024ألقيا في جهنم كل كفار عنيد
Mtupeni katika Jahannamu kila kafiri mwenye inda,
46555025مناع للخير معتد مريب
Akatazaye kheri, arukaye mipaka, mwenye kutia shaka,
46565026الذي جعل مع الله إلها آخر فألقياه في العذاب الشديد
Aliye weka mungu mwengine pamoja na Mwenyezi Mungu. Basi mtupeni katika adhabu kali.
46575027قال قرينه ربنا ما أطغيته ولكن كان في ضلال بعيد
Mwenzake aseme: Ee Mola wetu Mlezi! Sikumpoteza mimi, bali yeye mwenyewe alikuwa katika upotovu wa mbali.
46585028قال لا تختصموا لدي وقد قدمت إليكم بالوعيد
(Mwenyezi Mungu) aseme: Msigombane mbele yangu. Nilikuleteeni mbele onyo langu.
46595029ما يبدل القول لدي وما أنا بظلام للعبيد
Mbele yangu haibadilishwi kauli, wala Mimi siwadhulumu waja wangu.
46605030يوم نقول لجهنم هل امتلأت وتقول هل من مزيد
Siku tutapo iambia Jahannamu: Je! Umejaa? Nayo itasema: Je! Kuna ziada?
46615031وأزلفت الجنة للمتقين غير بعيد
Na Pepo italetwa karibu kwa ajili ya wachamngu, haitakuwa mbali.
46625032هذا ما توعدون لكل أواب حفيظ
Haya ndiyo mnayo ahidiwa kwa kila mwenye kurejea kwa Mwenyezi Mungu na akajilinda.
46635033من خشي الرحمن بالغيب وجاء بقلب منيب
Mwenye kumwogopa Mwingi wa Rehema hali kuwa hamwoni, na akaja kwa moyo ulio elekea-


0 ... 455.3 456.3 457.3 458.3 459.3 460.3 461.3 462.3 463.3 464.3 466.3 467.3 468.3 469.3 470.3 471.3 472.3 473.3 474.3 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.03 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

11018333817343452915124407943452804925