بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
44684454كذلك وزوجناهم بحور عين
Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.
44694455يدعون فيها بكل فاكهة آمنين
Humo watataka kila aina ya matunda, na wakae kwa amani.
44704456لا يذوقون فيها الموت إلا الموتة الأولى ووقاهم عذاب الجحيم
Humo hawataonja mauti ila mauti yale ya kwanza, na (Mwenyezi Mungu) atawalinda na adhabu ya Jahannamu,
44714457فضلا من ربك ذلك هو الفوز العظيم
Kuwa ni fadhila zitokazo kwa Mola wako Mlezi. Huko ndiko kufuzu kukubwa.
44724458فإنما يسرناه بلسانك لعلهم يتذكرون
Basi tumeifanya nyepesi hii Qur'ani kwa ulimi wako, ili wapate kukumbuka.
44734459فارتقب إنهم مرتقبون
Ngoja tu, na wao wangoje pia.
4474451بسم الله الرحمن الرحيم حم
H'a Mim
4475452تنزيل الكتاب من الله العزيز الحكيم
Uteremsho wa Kitabu umetoka kwa Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
4476453إن في السماوات والأرض لآيات للمؤمنين
Hakika katika mbingu na ardhi ziko Ishara kwa Waumini.
4477454وفي خلقكم وما يبث من دابة آيات لقوم يوقنون
Na katika umbo lenu na katika wanyama alio watawanya zimo Ishara kwa watu wenye yakini.


0 ... 436.7 437.7 438.7 439.7 440.7 441.7 442.7 443.7 444.7 445.7 447.7 448.7 449.7 450.7 451.7 452.7 453.7 454.7 455.7 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.02 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

3597524733408761493429496590539472673