بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
43984373لكم فيها فاكهة كثيرة منها تأكلون
Mnayo humo matunda mengi mtakayo yala.
43994374إن المجرمين في عذاب جهنم خالدون
Kwa hakika wakosefu watakaa katika adhabu ya Jahannamu.
44004375لا يفتر عنهم وهم فيه مبلسون
Hawatapumzishwa nayo na humo watakata tamaa.
44014376وما ظلمناهم ولكن كانوا هم الظالمين
Wala Sisi hatukuwadhulumu, bali wao ndio walio kuwa madhaalimu.
44024377ونادوا يا مالك ليقض علينا ربك قال إنكم ماكثون
Nao watapiga kelele waseme: Ewe Malik! Na atufishe Mola wako Mlezi! Naye aseme: Hakika nyinyi mtakaa humo humo!
44034378لقد جئناكم بالحق ولكن أكثركم للحق كارهون
Kwa yakini tulikuleteeni Haki, lakini wengi katika nyinyi mlikuwa mnaichukia Haki.
44044379أم أبرموا أمرا فإنا مبرمون
Au waliweza kupitisha amri yao? Bali ni Sisi ndio tunao pitisha.
44054380أم يحسبون أنا لا نسمع سرهم ونجواهم بلى ورسلنا لديهم يكتبون
Au wanadhani kwamba hatusikii siri zao na minong'ono yao? Wapi! Na wajumbe wetu wapo karibu nao, wanayaandika.
44064381قل إن كان للرحمن ولد فأنا أول العابدين
Sema: Ingeli kuwa Rahmani ana mwana, basi mimi ningeli kuwa wa kwanza kumuabudu.
44074382سبحان رب السماوات والأرض رب العرش عما يصفون
Ametakasika Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, Mola Mlezi wa A'rshi, na hayo wanayo msifia.


0 ... 429.7 430.7 431.7 432.7 433.7 434.7 435.7 436.7 437.7 438.7 440.7 441.7 442.7 443.7 444.7 445.7 446.7 447.7 448.7 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.03 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

6211503511933660442021852676180938353587