بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
40263856جهنم يصلونها فبئس المهاد
Nayo ni Jahannamu! Wataingia humo. Nacho hicho ni kitanda kiovu mno cha kulalia.
40273857هذا فليذوقوه حميم وغساق
Ndio hivi! Basi na wayaonje maji ya moto na ya usaha!
40283858وآخر من شكله أزواج
Na adhabu nyenginezo za namna hii.
40293859هذا فوج مقتحم معكم لا مرحبا بهم إنهم صالو النار
Hili ndilo kundi litakalo ingia pamoja nanyi. Hapana makaribisho mema kwao. Hakika hao wanaingia Motoni.
40303860قالوا بل أنتم لا مرحبا بكم أنتم قدمتموه لنا فبئس القرار
Waseme: Lakini nyinyi! Hamna mapokezi mazuri! Nyinyi ndio mlio tusabibisha haya, napo ni pahala paovu kabisa!
40313861قالوا ربنا من قدم لنا هذا فزده عذابا ضعفا في النار
Waseme: Mola wetu Mlezi! Aliye tusabibisha haya mzidishie adhabu mara mbili Motoni.
40323862وقالوا ما لنا لا نرى رجالا كنا نعدهم من الأشرار
Watasema: Tuna nini hata hatuwaoni wale watu ambao tukiwahisabu ndio katika waovu?
40333863أتخذناهم سخريا أم زاغت عنهم الأبصار
Tulikosea tulipo wafanyia maskhara, au macho yetu tu hayawaoni?
40343864إن ذلك لحق تخاصم أهل النار
Hakika hayo bila ya shaka ndiyo makhasimiano ya watu wa Motoni.
40353865قل إنما أنا منذر وما من إله إلا الله الواحد القهار
Sema: Hakika mimi ni mwonyaji tu; na hapana mungu ila Mwenyezi Mungu Mmoja, Mtenda nguvu,


0 ... 392.5 393.5 394.5 395.5 396.5 397.5 398.5 399.5 400.5 401.5 403.5 404.5 405.5 406.5 407.5 408.5 409.5 410.5 411.5 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.02 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

41226026234036203060272637723844734683