بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
37553650فلا يستطيعون توصية ولا إلى أهلهم يرجعون
Basi hawataweza kuusia, wala kwa watu wao hawarejei.
37563651ونفخ في الصور فإذا هم من الأجداث إلى ربهم ينسلون
Na litapulizwa barugumu, mara watatoka makaburini wakikimbilia kwa Mola wao Mlezi.
37573652قالوا يا ويلنا من بعثنا من مرقدنا هذا ما وعد الرحمن وصدق المرسلون
Watasema: Ole wetu! Nani aliye tufufua kwenye malazi yetu? Haya ndiyo aliyo yaahidi Mwingi wa Rehema na wakasema kweli Mitume.
37583653إن كانت إلا صيحة واحدة فإذا هم جميع لدينا محضرون
Haitakuwa ila ukelele mmoja tu, mara wote watahudhuruishwa mbele yetu.
37593654فاليوم لا تظلم نفس شيئا ولا تجزون إلا ما كنتم تعملون
Basi leo nafsi yoyote haitadhulumiwa kitu, wala hamtalipwa ila yale mliyo kuwa mkiyatenda.
37603655إن أصحاب الجنة اليوم في شغل فاكهون
Hakika watu wa Peponi leo wamo shughulini, wamefurahi.
37613656هم وأزواجهم في ظلال على الأرائك متكئون
Wao na wake zao wamo katika vivuli wameegemea juu ya viti vya fakhari.
37623657لهم فيها فاكهة ولهم ما يدعون
Watapata humo kila namna ya matunda na watapata kila watakacho kitaka.
37633658سلام قولا من رب رحيم
"Salama!" Hiyo ndiyo kauli itokayo kwa Mola Mlezi Mwenye kurehemu.
37643659وامتازوا اليوم أيها المجرمون
Na enyi wakosefu! Jitengeni leo!


0 ... 365.4 366.4 367.4 368.4 369.4 370.4 371.4 372.4 373.4 374.4 376.4 377.4 378.4 379.4 380.4 381.4 382.4 383.4 384.4 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.02 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

2033260230159301724141412792506771924