بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
31812722فمكث غير بعيد فقال أحطت بما لم تحط به وجئتك من سبإ بنبإ يقين
Basi (Hud-hud) akakaa si mbali na akasema: Nimegundua usilo gundua wewe, na ninakujia hivi kutoka nchi ya Sabai, na nakuletea khabari za yakini.
31822723إني وجدت امرأة تملكهم وأوتيت من كل شيء ولها عرش عظيم
Hakika mimi nimemkuta mwanamke anawatawala, naye amepewa kila kitu, na anacho kiti cha enzi kikubwa.
31832724وجدتها وقومها يسجدون للشمس من دون الله وزين لهم الشيطان أعمالهم فصدهم عن السبيل فهم لا يهتدون
Nimemkuta yeye na watu wake wanalisujudia jua badala ya Mwenyezi Mungu; na Shet'ani amewapambia vitendo vyao na akawazuilia Njia. Kwa hivyo hawakuongoka,
31842725ألا يسجدوا لله الذي يخرج الخبء في السماوات والأرض ويعلم ما تخفون وما تعلنون
Na hawamsujudii Mwenyezi Mungu ambaye huyatoa yaliyo fichikana katika mbingu na ardhi, na anayajua mnayo yaficha na mnayo yatangaza.
31852726الله لا إله إلا هو رب العرش العظيم
Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye, Mola Mlezi wa A'rshi tukufu..
31862727قال سننظر أصدقت أم كنت من الكاذبين
Akasema (Sulaiman): Tutatazama umesema kweli au wewe ni miongoni mwa waongo.
31872728اذهب بكتابي هذا فألقه إليهم ثم تول عنهم فانظر ماذا يرجعون
Nenda na barua yangu hii na uwafikishie, kisha waache na utazame watarejesha nini.
31882729قالت يا أيها الملأ إني ألقي إلي كتاب كريم
(Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu.
31892730إنه من سليمان وإنه بسم الله الرحمن الرحيم
Imetoka kwa Sulaiman nayo ni: Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
31902731ألا تعلوا علي وأتوني مسلمين
Msinifanyie jeuri, na fikeni kwangu nanyi mmekwisha kuwa wenye kusalimu amri.


0 ... 308 309 310 311 312 313 314 315 316 317 319 320 321 322 323 324 325 326 327 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.02 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

52727432238458246401600534335152295813