بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
30132681والذي يميتني ثم يحيين
Na ambaye atanifisha, na kisha atanihuisha.
30142682والذي أطمع أن يغفر لي خطيئتي يوم الدين
Na ambaye ndiye ninaye mtumai kunisamehe makosa yangu Siku ya Malipo.
30152683رب هب لي حكما وألحقني بالصالحين
Mola wangu Mlezi! Nitunukie hukumu na uniunganishe na watendao mema.
30162684واجعل لي لسان صدق في الآخرين
Na unijaalie nitajwe kwa wema na watu watakao kuja baadaye.
30172685واجعلني من ورثة جنة النعيم
Na unijaalie katika warithi wa Bustani za neema.
30182686واغفر لأبي إنه كان من الضالين
Na umsamehe baba yangu, kwani hakika alikuwa miongoni mwa wapotovu.
30192687ولا تخزني يوم يبعثون
Wala usinihizi Siku watapo fufuliwa.
30202688يوم لا ينفع مال ولا بنون
Siku ambayo kwamba mali hayato faa kitu wala wana.
30212689إلا من أتى الله بقلب سليم
Isipo kuwa mwenye kumjia Mwenyezi Mungu na moyo safi.
30222690وأزلفت الجنة للمتقين
Na Pepo itasogezwa kwa wachamngu.


0 ... 291.2 292.2 293.2 294.2 295.2 296.2 297.2 298.2 299.2 300.2 302.2 303.2 304.2 305.2 306.2 307.2 308.2 309.2 310.2 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.02 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

482026246039454114144011482251518802417