بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
29942662قال كلا إن معي ربي سيهدين
(Musa) akasema: Hasha! Hakika yu pamoja nami Mola wangu Mlezi. Yeye ataniongoa!
29952663فأوحينا إلى موسى أن اضرب بعصاك البحر فانفلق فكان كل فرق كالطود العظيم
Tulimletea wahyi Musa tukamwambia: Piga bahari kwa fimbo yako. Basi ikatengana, na kila sehemu ikawa kama mlima mkubwa.
29962664وأزلفنا ثم الآخرين
Na tukawajongeza hapo wale wengine.
29972665وأنجينا موسى ومن معه أجمعين
Tukawaokoa Musa na walio kuwa pamoja naye wote.
29982666ثم أغرقنا الآخرين
Kisha tukawazamisha hao wengine.
29992667إن في ذلك لآية وما كان أكثرهم مؤمنين
Hakika bila ya shaka katika hayo ipo Ishara; lakini wengi wao si katika wenye kuamini.
30002668وإن ربك لهو العزيز الرحيم
Na kwa hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
30012669واتل عليهم نبأ إبراهيم
Na wasomee khabari za Ibrahim.
30022670إذ قال لأبيه وقومه ما تعبدون
Alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Mnaabudu nini?
30032671قالوا نعبد أصناما فنظل لها عاكفين
Wakasema: Tunaabudu masanamu, daima tunayanyenyekea.


0 ... 289.3 290.3 291.3 292.3 293.3 294.3 295.3 296.3 297.3 298.3 300.3 301.3 302.3 303.3 304.3 305.3 306.3 307.3 308.3 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.02 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

518550705075553473640133165352856341503