بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
23361986ونسوق المجرمين إلى جهنم وردا
Na tukawachunga wakhalifu kuwapeleka Jahannamu hali ya kuwa wana kiu.
23371987لا يملكون الشفاعة إلا من اتخذ عند الرحمن عهدا
Hawatakuwa na mamlaka ya uombezi ila wale walio chukua ahadi kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema..
23381988وقالوا اتخذ الرحمن ولدا
Na wao ati husema kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana!
23391989لقد جئتم شيئا إدا
Hakika mmeleta jambo la kuchusha mno!
23401990تكاد السماوات يتفطرن منه وتنشق الأرض وتخر الجبال هدا
Zinakaribia mbingu kutatuka kwa hilo, na ardhi kupasuka, na milima kuanguka vipande vipande.
23411991أن دعوا للرحمن ولدا
Kwa kudai kwao kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana.
23421992وما ينبغي للرحمن أن يتخذ ولدا
Wala hahitajii Arrahmani Mwingi wa Rehema kuwa na mwana.
23431993إن كل من في السماوات والأرض إلا آتي الرحمن عبدا
Hapana yeyote aliomo mbinguni na ardhini ila atafika kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema kuwa ni mtumwa wake.
23441994لقد أحصاهم وعدهم عدا
Yeye hakika amewadhibiti na amewahisabu sawa sawa.
23451995وكلهم آتيه يوم القيامة فردا
Na kila mmoja katika wao atamfikia Siku ya Kiyama peke yake.


0 ... 223.5 224.5 225.5 226.5 227.5 228.5 229.5 230.5 231.5 232.5 234.5 235.5 236.5 237.5 238.5 239.5 240.5 241.5 242.5 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.02 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

43635276299141451249391719547563135459