بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
23281978أطلع الغيب أم اتخذ عند الرحمن عهدا
Kwani yeye amepata khabari za ghaibu, au amechukua ahadi kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema?
23291979كلا سنكتب ما يقول ونمد له من العذاب مدا
Hasha! Tutaandika anayo yasema, tutamkunjulia muda wa adhabu.
23301980ونرثه ما يقول ويأتينا فردا
Na tutamrithi hayo anayo yasema, na atatufikia mtupu peke yake!
23311981واتخذوا من دون الله آلهة ليكونوا لهم عزا
Na wamechukua miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu ili ati iwape nguvu.
23321982كلا سيكفرون بعبادتهم ويكونون عليهم ضدا
Sivyo kabisa! Wataikataa hiyo ibada yao, na watakuwa ndio dhidi yao.
23331983ألم تر أنا أرسلنا الشياطين على الكافرين تؤزهم أزا
Kwani huoni ya kwamba tumewatuma mashet'ani kwa makafiri wawachochee kwa uchochezi?
23341984فلا تعجل عليهم إنما نعد لهم عدا
Basi usiwafanyie haraka. Sisi tunawahisabia idadi ya siku zao.
23351985يوم نحشر المتقين إلى الرحمن وفدا
Siku tutayo wakusanya wachamngu kuwapeleka kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema kuwa ni wageni wake.
23361986ونسوق المجرمين إلى جهنم وردا
Na tukawachunga wakhalifu kuwapeleka Jahannamu hali ya kuwa wana kiu.
23371987لا يملكون الشفاعة إلا من اتخذ عند الرحمن عهدا
Hawatakuwa na mamlaka ya uombezi ila wale walio chukua ahadi kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema..


0 ... 222.7 223.7 224.7 225.7 226.7 227.7 228.7 229.7 230.7 231.7 233.7 234.7 235.7 236.7 237.7 238.7 239.7 240.7 241.7 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.02 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

4679390931798001739594284509727691243