بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
22641914وبرا بوالديه ولم يكن جبارا عصيا
Na akawa mwema kwa wazazi wake, wala hakuwa jabari mua'si.
22651915وسلام عليه يوم ولد ويوم يموت ويوم يبعث حيا
Na amani iwe juu yake siku ya kuzaliwa, na siku ya kufa, na siku ya kufufuliwa.
22661916واذكر في الكتاب مريم إذ انتبذت من أهلها مكانا شرقيا
Na mtaje Maryamu katika Kitabu, pale alipo jitenga na jamaa zake mahali upande wa mashariki;
22671917فاتخذت من دونهم حجابا فأرسلنا إليها روحنا فتمثل لها بشرا سويا
Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea Roho wetu, akajifananisha kwake sawa na mtu.
22681918قالت إني أعوذ بالرحمن منك إن كنت تقيا
(Maryamu) akasema: Hakika mimi najikinga kwa Mwingi wa Rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mchamngu.
22691919قال إنما أنا رسول ربك لأهب لك غلاما زكيا
(Malaika) akasema: Hakika mimi ni mwenye kutumwa na Mola wako Mlezi ili nikubashirie tunu ya mwana aliye takasika.
22701920قالت أنى يكون لي غلام ولم يمسسني بشر ولم أك بغيا
Akasema: Nitampataje mwana hali mwanaadamu yeyote hajanigusa, wala mimi si kahaba?
22711921قال كذلك قال ربك هو علي هين ولنجعله آية للناس ورحمة منا وكان أمرا مقضيا
(Malaika) akasema: Ndio hivyo hivyo! Mola wako Mlezi amesema: Haya ni mepesi kwangu! Na ili tumfanye kuwa ni Ishara kwa watu, na Rehema itokayo kwetu, na hilo ni jambo lilio kwisha hukumiwa.
22721922فحملته فانتبذت به مكانا قصيا
Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali.
22731923فأجاءها المخاض إلى جذع النخلة قالت يا ليتني مت قبل هذا وكنت نسيا منسيا
Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa!


0 ... 216.3 217.3 218.3 219.3 220.3 221.3 222.3 223.3 224.3 225.3 227.3 228.3 229.3 230.3 231.3 232.3 233.3 234.3 235.3 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.02 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

2766453741142705270217057753899397996