بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
19151614وهو الذي سخر البحر لتأكلوا منه لحما طريا وتستخرجوا منه حلية تلبسونها وترى الفلك مواخر فيه ولتبتغوا من فضله ولعلكم تشكرون
Yeye ndiye aliye ifanya bahari ikutumikieni, ili kutokana na humo mpate kula nyama laini, na mtoe humo mapambo mnayo yavaa. Na unaona marikebu zikikata maji humo, ili mtafute fadhila yake, na mpate kushukuru.
19161615وألقى في الأرض رواسي أن تميد بكم وأنهارا وسبلا لعلكم تهتدون
Na kaweka katika ardhi milima ili ardhi isiyumbe yumbe nanyi. Na mito, na njia ili mpate kuongoka.
19171616وعلامات وبالنجم هم يهتدون
Na alama nyengine. Na kwa nyota wao wanajiongoza.
19181617أفمن يخلق كمن لا يخلق أفلا تذكرون
Ati anaye umba ni kama asiye umba? Basi hebu, hamkumbuki?
19191618وإن تعدوا نعمة الله لا تحصوها إن الله لغفور رحيم
Na mkizihisabu neema za Mwenyezi Mungu, hamwezi kuzidhibiti. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye maghfira, Mwenye kurehemu.
19201619والله يعلم ما تسرون وما تعلنون
Na Mwenyezi Mungu anayajua mnayo yaficha na mnayo yatangaza.
19211620والذين يدعون من دون الله لا يخلقون شيئا وهم يخلقون
Na wale wanao waomba wasio kuwa Mwenyezi Mungu hawaumbi kitu, bali wao wameumbwa.
19221621أموات غير أحياء وما يشعرون أيان يبعثون
Ni wafu si wahai, na wala hawajui watafufuliwa lini.
19231622إلهكم إله واحد فالذين لا يؤمنون بالآخرة قلوبهم منكرة وهم مستكبرون
Mungu wenu ni Mungu Mmoja. Lakini wasio iamini Akhera nyoyo zao zinakataa, nao wanajivuna.
19241623لا جرم أن الله يعلم ما يسرون وما يعلنون إنه لا يحب المستكبرين
Hapana shaka kuwa hakika Mwenyezi Mungu anayajua wanayo yaficha na wanayo yatangaza. Kwa hakika Yeye hawapendi wanao jivuna.


0 ... 181.4 182.4 183.4 184.4 185.4 186.4 187.4 188.4 189.4 190.4 192.4 193.4 194.4 195.4 196.4 197.4 198.4 199.4 200.4 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.02 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

22134552409491014823509110939371347447