بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
18881586إن ربك هو الخلاق العليم
Hakika Mola wako Mlezi ndiye Muumbaji Mjuzi.
18891587ولقد آتيناك سبعا من المثاني والقرآن العظيم
Na tumekupa Aya saba zinazo somwa mara kwa mara, na Qur'ani Tukufu.
18901588لا تمدن عينيك إلى ما متعنا به أزواجا منهم ولا تحزن عليهم واخفض جناحك للمؤمنين
Usivitumbulie macho yako vitu tulivyo waneemesha makundi fulani kati yao, wala usiwahuzunikie. Na wainamishie bawa lako (la huruma) Waumini.
18911589وقل إني أنا النذير المبين
Na sema: Hakika mimi ni mwonyaji mwenye kubainisha.
18921590كما أنزلنا على المقتسمين
Kama hivyo tuliwateremshia walio gawa,
18931591الذين جعلوا القرآن عضين
Ambao wakaifanya Qur'ani vipande vipande.
18941592فوربك لنسألنهم أجمعين
Basi Naapa kwa Mola wako Mlezi! Tutawahoji wote,
18951593عما كانوا يعملون
Kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
18961594فاصدع بما تؤمر وأعرض عن المشركين
Basi wewe yatangaze uliyo amrishwa, na jitenge na washirikina.
18971595إنا كفيناك المستهزئين
Hakika Sisi tunatosha kukukinga na wanao kejeli.


0 ... 178.7 179.7 180.7 181.7 182.7 183.7 184.7 185.7 186.7 187.7 189.7 190.7 191.7 192.7 193.7 194.7 195.7 196.7 197.7 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.02 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

6024541791196941446301026583257773484