بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
18841582وكانوا ينحتون من الجبال بيوتا آمنين
Nao walikuwa wakichonga majumba katika milima kwa amani.
18851583فأخذتهم الصيحة مصبحين
Basi ukelele ukawatwaa asubuhi.
18861584فما أغنى عنهم ما كانوا يكسبون
Hayakuwafaa waliyo kuwa wakiyachuma.
18871585وما خلقنا السماوات والأرض وما بينهما إلا بالحق وإن الساعة لآتية فاصفح الصفح الجميل
Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake ila kwa ajili ya Haki. Na hakika Kiyama kitafika. Basi samehe msamaha mzuri.
18881586إن ربك هو الخلاق العليم
Hakika Mola wako Mlezi ndiye Muumbaji Mjuzi.
18891587ولقد آتيناك سبعا من المثاني والقرآن العظيم
Na tumekupa Aya saba zinazo somwa mara kwa mara, na Qur'ani Tukufu.
18901588لا تمدن عينيك إلى ما متعنا به أزواجا منهم ولا تحزن عليهم واخفض جناحك للمؤمنين
Usivitumbulie macho yako vitu tulivyo waneemesha makundi fulani kati yao, wala usiwahuzunikie. Na wainamishie bawa lako (la huruma) Waumini.
18911589وقل إني أنا النذير المبين
Na sema: Hakika mimi ni mwonyaji mwenye kubainisha.
18921590كما أنزلنا على المقتسمين
Kama hivyo tuliwateremshia walio gawa,
18931591الذين جعلوا القرآن عضين
Ambao wakaifanya Qur'ani vipande vipande.


0 ... 178.3 179.3 180.3 181.3 182.3 183.3 184.3 185.3 186.3 187.3 189.3 190.3 191.3 192.3 193.3 194.3 195.3 196.3 197.3 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.03 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

35340342186928241915474519229242171654