بسم الله الرحمن الرحيم

نتائج البحث: 6236
ترتيب الآيةرقم السورةرقم الآيةالاية
18681566وقضينا إليه ذلك الأمر أن دابر هؤلاء مقطوع مصبحين
Na tukamfunulia hukumu hiyo, ya kwamba hata wa mwisho wao hao ikifika asubuhi atakuwa kesha katiliwa mbali.
18691567وجاء أهل المدينة يستبشرون
Na wakaja watu wa mji ule nao furahani.
18701568قال إن هؤلاء ضيفي فلا تفضحون
Akasema: Hakika hawa wageni wangu, basi msinifedheheshe.
18711569واتقوا الله ولا تخزون
Na mcheni Mwenyezi Mungu, wala msinihizi.
18721570قالوا أولم ننهك عن العالمين
Wakasema: Sisi hatukukukataza usimkaribishe yeyote?
18731571قال هؤلاء بناتي إن كنتم فاعلين
Akasema: Hawa binti zangu, ikiwa nyinyi ni watendaji.
18741572لعمرك إنهم لفي سكرتهم يعمهون
Naapa kwa umri wako! Hakika hao walikuwa katika ulevi wao, wakihangaika ovyo.
18751573فأخذتهم الصيحة مشرقين
Ukelele ukawatwaa wakipambaukiwa.
18761574فجعلنا عاليها سافلها وأمطرنا عليهم حجارة من سجيل
Na tukaigeuza nchi juu chini, na tukawanyeshea mvua ya mawe ya udongo wa Motoni.
18771575إن في ذلك لآيات للمتوسمين
Hakika katika hayo zipo ishara kwa waaguzi.


0 ... 176.7 177.7 178.7 179.7 180.7 181.7 182.7 183.7 184.7 185.7 187.7 188.7 189.7 190.7 191.7 192.7 193.7 194.7 195.7 ... 623

إنتاج هذه المادة أخد: 0.02 ثانية


المغرب.كووم © ٢٠٠٩ - ١٤٣٠ © الحـمـد لله الـذي سـخـر لـنا هـذا :: وقف لله تعالى وصدقة جارية

2668259217723922285389560486711546033